MTWARA SIO SALAMA
-
*Baada ya Waziri wa Nishat ikusoma hotuba yake.Mwishoni amesema bomba la
gesi linajengwa kutoka Mtwara kwenda Dar hapo ndio vurugu zilipoanza.*
Huko MIKINDA...
2 days ago
This Blog is all about Social and Entertainment issues... Karibu kwenye Dunia yangu!!! kwa mawasiliano tumia zamaradi.takeone@gmail.com
Album ya leo ni mchanganyiko tu wa picha tofautitofauti ambazo huenda nimepiga siku tofautitofauti ama hata siku moja na watu tofauti tofauti kwa wakati tofauti pia.. na hizi huenda hazina maana yoyote ila ni for fun tu coz NAPENDA PICHA.. so kama unapenda picha join me na kama hupendi just skip nenda kwenye post nyingine haina mbaya....
Nakumbuka wakati nikiwa mdogo nilikuwa nikihudhuria sana maigizo yao ya jukwaani enzi hizo akiwa katika kundi la Muungano cultural troupe ambapo kila jumamosi pale Vijana social hall kinondoni ndio ilikuwa sehemu yao ya kufanyia maonesho, na baba alikuwa akipenda sana kunipeleka pale kushangaashangaa maigizo na MZEE MAJUTO ndio nilimuonea hapo kwa mara ya kwanza ambapo kwa enzi hizo alikuwa akiigiza serious na kingine alipenda sana kuigiza kama anaonewa hivi na mtu wa matatizo na sio comedy kama ambavyo anafanya sasa, lakini baadae nikaanza kumuona kwenye comedy enzi hizo kwenye television na mpaka sasa kupitia DVDs mbalimbali...
Nikiwa na mtoto krish hapo... practise makes perfect so hakuna ubaya kuanza kujifunzafunza malezi kidogokidogo mapema.. lol!!!