MTWARA SIO SALAMA
-
*Baada ya Waziri wa Nishat ikusoma hotuba yake.Mwishoni amesema bomba la
gesi linajengwa kutoka Mtwara kwenda Dar hapo ndio vurugu zilipoanza.*
Huko MIKINDA...
1 day ago
This Blog is all about Social and Entertainment issues... Karibu kwenye Dunia yangu!!! kwa mawasiliano tumia zamaradi.takeone@gmail.com
Anaitwa Arnold Kayanda... mtangazaji wa JAHAZI na Top 20 hapa Clouds FM radio..
Mimi nikiwa na Ceaser Daniel ambae anapatikana hapahapa CLOUDS TV kupitia kipindi cha BONGO ACCESS kila siku za jumanne baada ya Take one...
Zamaradi Mketema na Ceaser Daniel.. Usikose kuangalia TAKE ONE siku hii ya leo TATU kamili Usiku kupitia CLOUDS TV na baada ya hapo Bongo Access na Caeser.. usikose!!!
Hii ilikuwa ni siku ya jumamosi pale SAVANNAH LOUNGE Quality plaza ambapo kulikuwa na birthday party ya sintah kama unavyomuona hapo akizima mishumaa kadhaa iliyowekwa kwa ajili yake..
Niliipenda hii Cake kwakweli, ilikuwa ya ukweli sana.. the colour, the decoration, and even the taste.. was soo sweet!!!
Kutoka kushoto Zamaradi, Birthday girl Sintah pamoja na Millard Ayo..
Nikiwa na Sauda Mwilima ambae ndie alikuwa MC wa shughuli nzima.,.
Mimi nikiwa na Birthday girl hapo..
Hapa hata hatujajipanga kwa picha jamani..
haya sasa camera roll.. Action.. saafi.. hapo nikiwa na Aunt Ezekiel ambapo mchana wake tulikuwa kwenye Audition pale Leaders kwenye serengeti Fiesta Filamu!!
Penny akiwa na Aunt Ezekiel
Pozi..
wadau wengi walikuwepo, hapo nikiwa na Sajent
Hii picha pamoja na baadhi ya nyingine unazoziona humu nimechukua kwenye Blog ya shamim zeze maana camera yangu siku hiyo ilifanya kazi sana kwenye serengeti fiesta filamu DAR mchana wake kiasi kwamba mpaka kufika muda huo Charge ilikuwa imeisha kabisa hivyo ikabidi nitumie simu tu kupigia picha, so kama quality ya picha nyingine sio nzuri mtanisamehe..
Belina kama unavyomuona..
Shamim akiwa na Sintah
Jana nilikuwa eneo moja huko mbagala (mtoni kijichi) ambako kulikuwa na shooting ya 69 records nikalipenda sana hili eneo, nafikiri nitarudi tena kwa ajili ya kufanyia kipindi..
Hii ni location kabisa ya movie, sijui kwanini huwa tunang'ang'ania sehemu zilezile kila siku wakati kuna ma-location kibao ya kufanyia filamu tena Dar hii hii....
Mi niliamua nishone kama ambavyo unaona hapo juu na hivyo ndio nilivyotokea...
Ada (mama Malcom), Zamaradi na Jacky Pentzel.. tulikutana huko pia!!!
Zamaradi Mketema na Jacky Pentzel..
Ada, Jacky Pentzel, Zamaradi na Blandina Chagula (johari)
Wadada katika Pozi!!!!
Shughuli ni watu na watu wenyewe ndio sie.. kote kote nipo... hapo na mi nikicheza taarab mwanamke ujue vyote sio uzungu mwanzo mwisho mkataa kwao mtumwa.. chezea.. lol!!!!
Husna alitukutanisha wengi jana.. was really happy to meet you mammy baada ya muda mrefu sana...
Haya sasa mpenda picha.. Swagga is on.. ha haaa..