Hapo ndio ninaposema like father like son coz alichanganyikiwa kabisa baada ya kuiona MIC na ukizingatia kazi ya baba yake inahusisha Microphone so huenda kuna vielement flani vya baba ama familia historia inajieleza.. TUNASUBIRIA lol!!
This Blog is all about Social and Entertainment issues... Karibu kwenye Dunia yangu!!! kwa mawasiliano tumia zamaradi.takeone@gmail.com
Monday, February 28, 2011
MTOTO WA BANANA ZORRO.. LIKE FATHER LIKE SON!!!
Hapo ndio ninaposema like father like son coz alichanganyikiwa kabisa baada ya kuiona MIC na ukizingatia kazi ya baba yake inahusisha Microphone so huenda kuna vielement flani vya baba ama familia historia inajieleza.. TUNASUBIRIA lol!!
MATUKIO KATIKA PICHA.. MECHI YA BONGOFLEVA NA WANAFILAMU!!!




Hii ilikuwa ni siku nzuri sana aisee, uwanjani kulikuwa na vituko vingi sana especially style ya uingiaji ya wachezaji wa filamu ambapo MASANJA alikuwa akitembea ule mwendo wake wa kizembe wakati JOTI alikuwa akisalimia mashabiki huku akishhtu.. BIG UP kwa WASANII WOTE kwa moyo wao wa kujitolea kwa ajili ya ndugu zetu hawa wa Gongolamboto bila kusahau WATANZANIA waliojitokeza kwa hali na mali pamoja na CLOUDS MEDIA GROUP.. wanastahili pongezi!!!
Friday, February 25, 2011
ITS NOT ONLY ABOUT BEAUTY.. ITS BRAIN & BEAUTY or BEAUTY WITH PURPOSE" - Sporah Njau

In the city of London here comes a young vibrant lady full of life and enthusiasm always ready to go above her abilities to deliver the best. Miss Sporah Njau believes you can do it. Her positive spirit led her to an unending array helping young people in the community to speak out in different issues.
Miss Njau is a hardworking lady who believes in education more than anything else, with a heart of her career as a TV presenter/producer. Miss Njau came from a humble background to become one of the African most influential lady in United Kingdom. She has amassed a great fortune through her media interests and uses her TV Show to positively influence of the young generation.

Business was her foundation; her 1st business while studying was 2005, When she started her online retail, selling Wigs, hair extension and African Sandals.
As she heads up the accelerated degree programs, Sporah found her passion in TV Presenting.

After watching different TV talk shows, Sporah realised how powerful TV is, and how it can influence or change people's life especially the young generation. So she came with an Idea of a TV Talk Show.
In August 2007, The Sporah TV Show was born, the show discusses issues that affect the Black African community residing in UK and Europe and Africa as a whole.
Currently, The Sporah Show is a weekly talk show shown in Europe and Africa (East-Africa). In Europe SKY Channel 184 BEN Television, every Monday at 9:30pm and in Africa (Tanzania) every Friday at 18:00pm and Saturday’s at 13:00pm on STAR TV in Tanzania.


Sporah is passionate about the things that interesting her. Her job, family, her local church and community.
THE GOOD MOMENT OF HER ilikuwa siku ya kwanza kuiona Sporah Show kwenye TV, anasema alitoa machozi ya furaha! kwani ilikua ngumu sana kwake kuamini ukizingatia kulikua na vipingamizi vingi sana. Na pia siku aliyo graduate, hakuamini kama angeweza na hio ni kutokana na challenges alizokuwa anapata wakati yuko university kwani haikuwa kazi rahisi kwake kufanya mambo mawili kwa wakati mmoja ambapo alikua AKISOMA huku akiendelea KUPRODUCE KIPINDI.

KITU AMBACHO HUFAHAMU KUTOKA KWA SPORAH
Kwanza kabisa, She believes in GOD, she is a loving person, very easy to get along with.. very Simple, so caring, hard working and a risk taker.
Kitu kimoja ambacho angependa watu wajue ni kwamba amekutana na changamoto nyingi sana kwenye maisha yake na anaendelea kukutana nazo ila anajitahidi kukabiliana nazo kadri ya uwezo wake.
Kwanza kabisa, She believes in GOD, she is a loving person, very easy to get along with.. very Simple, so caring, hard working and a risk taker.
Kitu kimoja ambacho angependa watu wajue ni kwamba amekutana na changamoto nyingi sana kwenye maisha yake na anaendelea kukutana nazo ila anajitahidi kukabiliana nazo kadri ya uwezo wake.
Nilimuuliza katika hizo challenges ambazo ameshakutana nazo anaweza akakumbuka nini kilichowahi kumkwaza na hivi ndivyo alivyonijibu...
"The few once that i can remember is: I was Young Black African woman from Tanzania!! Trying to do a TV Show!!! It was very very very hard to convince people here in London, even close people around me. Secondly, I had problem with a Language barrier.. Ila sikuona kama huwa Afrian au kutokuongea English ni Kilema/Disability!! Niliyaweka yoote pembeni na ku focus na kile nilichokua nataka kuachieve. Ninachojaribu kusema ni kwamba USIKUBALI MTU AKUAMBIE KWAMBA HUWEZI KUFANYA KITU AU HUWEZI KUFANIKIWA NO.. Ukifanya kazi utavuna unachopanda na Mungu hamuachi mja wake."
UJUMBE WAKE KWA WADADA...

"And for my Ladies! I so much believe that the world we are leaving nowadays its not only about beauty! not anymore. Now Its "Brain & Beauty Or Beauty with Purpose" and not just beautiful."
Cha mwisho kabisa SPORAH anapenda ssaana kupika kuliko kawaida, so mda wowote anaopata nafasi huutumia kufanya hivyo...
Cha mwisho kabisa SPORAH anapenda ssaana kupika kuliko kawaida, so mda wowote anaopata nafasi huutumia kufanya hivyo...
Kipindi cha sporah huoneshwa kila ijumaa saa 12 jioni na kila jumamosi saa saba mchana kupitia Star TV na pia Unaweza ukamtembelea kupitia blog yake ambayo ni http://www.thesporahshow.blogspot.com/ ns pia http://www.sporahshow.com/ pia kupitia facebook, twitter na youtube unaweza kujionea baadhi ya vipindi vyake ambavyo huwa anafanya...
Thursday, February 24, 2011
NIMEONA NIZITUPIE TU PICHA ZANGU MAANA NAONA HAZINA MATUMIZI.. IJUMAA NJEMA JAMANI!!!!


MICHAEL JACKSON ALIVYOFARIKI NILILIA SANA - MC KENYATTA
Na sababu kubwa iliyomfanya alie sana ni mapenzi yake ya dhati kwa MJ (Michael Jackson).
Baadhi ya CHEJO zake za Ki-MJ... hapo alikuwa ananitolea show ya ukweli ya Michael Jackson
Ukimuuliza SABABU KUBWA iliyomfanya ampende MICHAEL JACKSON, Mc Kenyatta anasema sababu kubwa ni kwakuwa MICHAEL JACKSON ALIKUWA AKIPENDA SANA WATOTO na kwa matatizo aliyoyapata yeye utotoni anatamani sana MICHAEL JACKSON ANGEMUONA AKAMCHUKUA ili aondokane na shida hizo, hivyo alikuwa akimuangalia MICHAEL kama mkombozi fulani.. na kingine alikuwa akipenda anavyocheza...
UNAWEZA UKASHANGAA SHIDA GANI ALIZOPITIA LAKINI KUNA SIRI KUBWA SANA NYUMA YA MAISHA YA MC KENYATTA AMBAPO NTAKULETETEA HALI HALISI YA MAISHA YAKE MUDA SI MREFU ila kwa DONDOO tu ni kwamba hivi unafahamu alivyokuwa mdogo ALIIBWA KUTOKA KWA MAMA YAKE MZAZI NA AMEKUWA AKILELEWA NA MAMA AMBAE SIO WAKE KWA MUDA WOTE HUO ( ALIEMUIBA) na hivi sasa ANAMTAFUTA MAMA YAKE MZAZI!!!.. kwa yote haya endelea kuwa na mimi ndani ya blog hii na nitakuletea kisa cha maisha yake kama kilivyo....
Lakini pamoja na yote hayo MC KENYATTA pia ni MC mashuhuri sana wa sherehe mbalimbali kama MAHARUSI, SEND-OFF, VIPAIMARA na shughuli yoyote ile na huwa anaimudu sana kazi yake kama MC kwani ni mtu ambae hufurahisha sana anapofanya shughuli hizo na mara nyingine hutoa hadi hizo SHOW za Michael Jackson katika kuchombeza.. hivyo kama una harusi yako, send-off, Ubatizo, Birthday, Kipaimara ama SHEREHE YOYOTE ILE unaweza ukamcheki kupitia namba zake za simu ambazo ni 0715-226005 au 0754-226005 ama 0689-226005. na anaweza akafanya sherehe yako iende sawa kabisa..


UNAWEZA UKASHANGAA SHIDA GANI ALIZOPITIA LAKINI KUNA SIRI KUBWA SANA NYUMA YA MAISHA YA MC KENYATTA AMBAPO NTAKULETETEA HALI HALISI YA MAISHA YAKE MUDA SI MREFU ila kwa DONDOO tu ni kwamba hivi unafahamu alivyokuwa mdogo ALIIBWA KUTOKA KWA MAMA YAKE MZAZI NA AMEKUWA AKILELEWA NA MAMA AMBAE SIO WAKE KWA MUDA WOTE HUO ( ALIEMUIBA) na hivi sasa ANAMTAFUTA MAMA YAKE MZAZI!!!.. kwa yote haya endelea kuwa na mimi ndani ya blog hii na nitakuletea kisa cha maisha yake kama kilivyo....
JACKUELINE NTUYABALIWE IS THE MOST BEAUTIFUL WOMAN IN THE WORLD - TK... UZURI WAKE WALETA GUMZO



Hapo akiwa na Hoyce Temu
Ukiachana na TK mwenyewe kuna mtu alikubaliana naTK kwamba K-Lyn ni mwanamke mzuri lakini si kwa dunia nzima ila alichokisema ni kwamba kwa upande wake HOYCE TEMU ndio namba moja halafu anafatia K-lyn ambapo comment yake ilisomeka kama ifuatavyo.. "in the world...no! But she is beautiful...to me wa pili kwa uzuri kwa miss tz walioshika taji,hoyce temu then jacquline"

wakati comments zikiendelea kuna mtu ambae alisema ye kwake anamuona kawaida tu sana na alichoandika ni kama hivi "mmmmhhhhhh sijaona kawaida tu teddy or rangi na uchotara,......but u r cute than her tedy sorry to say tha" kitu ambacho TK alikipinga kidogo na kuelezea kuwa yeye K-lyn kwake bado ni msichana mzuri hata angekuwa vipi kwa kusema "me I think hata angekuwa mweusi kakekuwa bado kazuri tu. Have you seen her lips, eyes, her teeth, the way she talks omg. :))" na akapata support kwa mtu ambae alisema JACKUELINE NTUYABALIWE ataendelea kuwa miss wake of all time!!!

Kikubwa kingine kinachonifanya niendelee kumkubali zaidi na zaidi ni kwakuwa KILA ANAVYOZIDI KUKUA NDIVYO UZURI WAKE UNAVYOONGEZEKA... mara nyingi watu hasa wasichana umri unavyosogea na uzuri unakua kama unapungua hivi lakini kwa JACKUELINE NTUYABALIWE imekuwa kama tofauti kwani yeye kadri umri unavyoongezeka na uzuri wake unazidi kiufupi anajua kuji-maintain which is good.. so kwangu mimi K-LYN ni mmoja kati ya wanawake wazuri sana... SHE IS BEAUTIFUL kwakweli...





Moja kati ya vitu vilivyokuwa vikimbeba k-lyn kwenye music ni uzuri na mvuto wake, utatamani kuangalia videos umuone alivyovaa na alivyo.. PERSONALITY is everything katika kazi ya sanaa, na alikuwa nayo kitu kilichomuongezea credits zaidi.

Huyo ni TK.. na wanasema uzuri wa mtu uko machoni mwa mtu na TK ameona kama K-lyn ni the most beautiful woman in the world...
KWA UPANDE WAKO NI MWANAMKE/MSICHANA GANI ANAEKUVUTIA SANA HAPA BONGO NA NINI AMBACHO KINAKUVUTIA ZAIDI KWAKE!!!!!!?????