This Blog is all about Social and Entertainment issues... Karibu kwenye Dunia yangu!!! kwa mawasiliano tumia zamaradi.takeone@gmail.com
Friday, May 27, 2011
ALBUM YA LEO...!!!!!

Natamani kujua kupiga gitaa lakini tatizo hata kulishika tu ni mbinde!!!
Hapo nikiwa na Lotus kutoka Big brother..
Nikiwa na brother from another mother AD plus muite ADAM MCHOMVU a.k.a Baba jonii!!!
Kikazi zaidi sijui tulikuwa tunashangaa nini aisee.. hapo nikiwa na GEAH HABIB mamaa wa Hekaheka!!
Hiyo ndio album ya leo ambayo imejumuisha picha nilizopiga wiki hii though sio zote maana nikiziweka zote humu tutazidi kuchukiana.. LOL!!!
Wanasema HESHIMU MTU ANACHOKIPENDA, huenda kwako hakina maana lakini kwa ANAEKIPENDA kikawa na maana.. NAPENDA SANA PICHA na siwezi kuubadilisha ukweli coz that's me aisee..
na picha zenyewe ndio hizo hapo juu..FOR FUN jamani!!!
NAWAPENDA WOOTE mnaonipenda na kunichukia!!!!
WATOTO KUTOKA GREENHILL SCHOOL WATEMBELEA CLOUDS ENTERTAINMENT...
PART TWO: MBIO ZA SAKAFUNI HUISHIA UKINGONI.. BAADA YA FUJO NA MBWEMBWE ZA MUDA MREFU HATIMAE HALI IKAWA HIVI...lol!!
NAOMBA NITOE WASIFU WA KILA MMOJA KWENYE SAFARI YETU HII YA LEO...
But all in all it was REALLY FUN... nime-enjoy sana safari ya leo, watu wote hao unaowaona hapo juu walinipa Furaha ya kutosha kila mtu akiwa na Burudani yake anayoijua yeye... NAWAPENDA WOOTE!!!
Hii ilikuwa ni kabla ya kuangusha Gari.. Utafikiri sio WAO.. Ha ha haaaaaaaa.... MBIO ZA SAKAFUNI!!!! Hiyo ndio Part TWO ya safari yetu ya leo!!!
PART ONE: SAFARI YETU ILIVYOKUWA TUNASHUKURU TUMEFIKA SALAMA TANGA..
SASA SIKILIZIA KILICHOTOKEA BAADA YA HAPO.. HIYO NI PART ONE
NINA FURAHA KULIKO KAWAIDA KUKUTANA NA MTU HUYU LEO....

Mbali na kuwa kipenzi changu Mzee Majuto alikuwa kipenzi sana cha baba yangu, enzi za uhai wa baba yangu hakuwa mtu wa kupenda kuangalia TV ama hata movies lakini ukiweka DVD ya mzee Majuto utakaa nae Mwanzo mpaka mwisho na atacheka mpaka utasikia raha, so kukutana na mzee Majuto kumenikumbusha mbali sana na nimefurahi sana kukutana nae leo...
I was not in a good mood kabisa before na nilikuwa na mambo yangu mengi sana kichwani lakini kukutana nae tu imekuwa kama dawa kwangu naomba nikiri, He made my day aisee...
MUCH RESPECT TO YOU!!!!
Tuesday, May 24, 2011
MAMA NA MWANA.. IRENE UWOYA NA MWANAE (KRISH)

HONGERA SANA IRENE KWA KUPATA MTOTO.. That's a very big step in Life!!! MUNGU akukuzie!!!