kwa kuziangalia tu hizo sura hapo juu unahisi zinaletaleta na nani!!???hao watoto unaowaona hapo juu ni mapacha, na mmoja kati yao kwasasahv ni mmoja kati ya mastar wakubwa sana wa filamu hapa tanzania..
hebu niambie ni nani!????
This Blog is all about Social and Entertainment issues... Karibu kwenye Dunia yangu!!! kwa mawasiliano tumia zamaradi.takeone@gmail.com
niliweka hii picha hapo juu na kuomba watu waguess huyo ni nani.. na wengi wameonekana wako makini sana na kutaja jina la hemed, na hilo ndio jibu sahihi.. huyo ni hemed suleimaan akiwa na mama yake mzazi na hapo aalikuwa na umri wa miaka 5, na ilikuwa ni mwaka 1991!!
hii ni picha inayoonesha walivyo sasa.. hemed na mama yake
na hapa ni hemed mwenyewe ama phd kama anavyopenda kujiita.. nakuletea mwingine soon ili uchemshe bongo kdg

hako katoto unakokaona hapo juu ni mmoja kati ya mastar wakubwa sana wa filamu kwa sasa.. hapo akiwa na mama yake.. hebu hisi huyo ni nani!??? halafu nipe jibu..
hapa ni baba yake mzazi na mama yake enzi hizo.. hii ni kukupa clue tu ili upate urahisi wa kutambua.. kwa kuwaangalia unahisi wamefanana na msanii gani wa filamu kwa sasa!??