![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEib8TnSsSHLiX2OiVNOW6FA5BrJfuBl0DxwI6hKVCTmg_fh6VXJKz9vT_uvIwBwxDiwJem7_OJA9qmwGcbtat9NwslMF-BVVJJ33ncg35SgEZNbS31rnkcByHN_4weMnrvCdHqN1uQzWf4/s320/Picture+728.jpg)
Nilitoa hii picha na kuomba watu waniambie wanahisi HUYI NI NANI... Kwa wale wote waliokuwa wakiuliza huyu ni nani ama ambao walijaribu ku-guess wameshapata jibu, anaitwa HAMIS MANDI ama B-dozen mtangazaji wa CLOUDS FM RADIO kwenye kipindi cha XXL.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjE3U0hXuYo_BESUweF34vt7iqxXurZDjg0m9vDvV5cLdscjBoe9buKG8fUQM3BCocEygEScU5eLNZmeFm_okKg7OLAYT_hwIq4d5rjrg04wXsBfMuLra5EoEQg3mR1F_dwce4D-UedVCg/s320/Picture+635.jpg)
Hapa akiwa anaonekana kwa vizuri huku style yake ya nywele ikiwa inaonekana.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhL3GLPBSDwswMJZ_1YDG-AV0zctK7_Sv-yQO5YU-2ziVXdGSdCMhAMA4QP4uKMvdeep6_0mYoBiEFObhzHBH3WDTs4HnN5M40VSqiM0aldWYYKof5qo_ZJs5TLdvEV_yscHsCSrwttp20/s320/Picture+639.jpg)
B-12 akiwa mzigoni........ Wooooooote waliosema huyu ni DOZEN wamepatia Congratulation guys.. Kwa wengine waliojaribu asanteni sana.. Tuko pamoja!!
Tusubiri nini kitafuata kwenye Guess WHO!!
4 comments:
tupe dhawadi zetu.
disminder.
Good Day! Ricardo Love . payday loans
cash advance toronto This website is the very best I enjoyed it very much
AAA Toronto Payday Loans 1172 Bay St #101, Toronto, ON M5S 2B4 (416) 477-2817
i love dis guy for really,,,love u man......and all the best B12..........
Post a Comment