![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhBdw234tJqG7xId4VEt__aD7m-GrsomVWLYUCFPM5904ha-liLuN0DsiQQ_3lR-ngy2NyQx-nkaveWSpZFgj3t0VdrQpxIrElve0_NTEBmlJMbUBK0JmpRslc0qNEE_gACWdHK3nWjn8k/s400/dolce-gabbana-ss-2011-collection%255B1%255D.jpg)
Pamoja na kwamba walikuwa ma-model wengi lakini nilijikuta jicho langu limeganda hapa...
To me she is really Beautiful.. nimempenda tu na sina sababu ya msingi.. hivyo sio mbaya hiyo ikawa picha ya leo!!!
This Blog is all about Social and Entertainment issues... Karibu kwenye Dunia yangu!!! kwa mawasiliano tumia zamaradi.takeone@gmail.com
6 comments:
kafanana na happy magese aka millen right?
tupe manews hatutaki ULESBIAN hapa unless km kawida yako huna cha kutuhabarisha
UMEMPENDA KWA SABABU MNAFANANA! I GUESS
kwa sababu unafanana nae?
zama eh! kiasi fulan mnafanana mwaya. like it
Birds of a feather flock together...she has tutsi like features.
Post a Comment