Thursday, November 10, 2011

MWINGINE HUYO.. GUESS WHO!!

kwa kuziangalia tu hizo sura hapo juu unahisi zinaletaleta na nani!!???

hao watoto unaowaona hapo juu ni mapacha, na mmoja kati yao kwasasahv ni mmoja kati ya mastar wakubwa sana wa filamu hapa tanzania..
hebu niambie ni nani!????

MMEPATIA.. lol

!niliweka hii picha hapo juu na kuomba watu waguess huyo ni nani.. na wengi wameonekana wako makini sana na kutaja jina la hemed, na hilo ndio jibu sahihi.. huyo ni hemed suleimaan akiwa na mama yake mzazi na hapo aalikuwa na umri wa miaka 5, na ilikuwa ni mwaka 1991!!
hii ni picha inayoonesha walivyo sasa.. hemed na mama yake
na hapa ni hemed mwenyewe ama phd kama anavyopenda kujiita.. nakuletea mwingine soon ili uchemshe bongo kdg

G5 click wanakuletea.. BODA KWA BODA beach concert!!


BODA KWA BODA BEACH CONCERT ON 12th Nov.....,here comes what you have been waiting for tz BODA KWA BODA BEACH CONCERT..Stage will be covered by Jaguar from Kenya ,Sumalee,Country boy & Stamina,GodZilla,Aslay,Beka,Reycho,Young D and many more.Dj Zero will be on the mix to make the crowd going crazzieeee with the hottest hitz.

ENTRANCE : 10,000tshs
VENUE: MBALAMWEZI BEACH "the finest beach"
TIME: 7pm

Monday, November 7, 2011

GUESS WHO...!

hako katoto unakokaona hapo juu ni mmoja kati ya mastar wakubwa sana wa filamu kwa sasa.. hapo akiwa na mama yake.. hebu hisi huyo ni nani!??? halafu nipe jibu..hapa ni baba yake mzazi na mama yake enzi hizo.. hii ni kukupa clue tu ili upate urahisi wa kutambua.. kwa kuwaangalia unahisi wamefanana na msanii gani wa filamu kwa sasa!??

HONGERA SANA VENTURE kwa kutuletea BABY GIRL...

hhatimae ndoa imejibu, hapo juu a new baby girl akiwa na auntie.. kako soo chwit jamani.. na kanaonekana kajanja.. lol
nhapo juu ni new parents berna na venture.. hongereni sana sana,