Tuesday, May 11, 2010

PICHA YA LEO.... NIKIWA NA KEISHA!!

Nikiwa na KEISHA... Kagiza kwa mbaaaali

Hapa mwanga kidoogo

Hapa Mwanga sana...
ipi umeipenda!?

6 comments:

Anonymous said...

Picha ya mwanga kidogo, wote warembo sana.

Anonymous said...

Zamaradi bby uwe active kwenye blog yako bwana kuna macelebrity wabngapi wa kuwahoji mbona unatukaushia?Kuwa active kama Michuzi,8020 zinatupa raha na ndipo utapata sponsors kibao kuwa mbunifu sister

Anonymous said...

ya kwanza bombaaa

Mashaka said...

I luv u Zamaradi!!

Anonymous said...

mmependeza hii ya mwangaza zaidi ndo iko bomba....

Anonymous said...

safi kabisa ,ila huyo mrembo Keisha mbona ka nenepa sanaaa hata ile figa imepotea kulikoni mrembo