Tuesday, May 11, 2010

VIPI HAMNA STORY...!!???

Vijana wakiwa busy na simu zao.. sijui waliishiwa vya kuongea??
maana wako pamoja lakini hakuna ushirikiano, kila mmoja busy na simu yake...
kutoka kushoto ni DJ MULLY B kutoka Clouds FM, MARTIN (mvuto kwanza) pamoja na Mchezaji wa timu ya YANGA.. JERRY TEGETE.

No comments: