Thursday, May 6, 2010

KANUMBA AIBUKA NA WEMA TENA

Si mara ya kwanza wao kuwa kwenye filamu pamoja..

Tumeshawaona kwenye A POINT OF NO RETURN, FAMILY TEARS na RED VALENTINES ambazo zote zilikuwa gumzo kubwa na ziliweza kufanya vizuri sana lakini baadae ikawa kimya kidogo kwa wao kuonekana pamoja...

Hatimae kimya kimevunjika na kwa 2010 huu ni ujio mpya kabisa wakiwa pamoja... WHITE MARIA!!!
Kaa mkao wa kula.

Picha kwa hisani ya ABDALLAH MRISHO.

1 comment:

Anonymous said...

MM PICHA AKICHEZA WEMA SEPETU TU!
SIICHI NG'O
LAZIMA NITAINUNUA TU