


Jamani hivi ni vitu gani vinavyoweza kumtambulisha mtu kama ni SHOGA ama si SHOGA!!!??????............. je mbali na kuigiza ambako ni sanaa kuna kitu chochote ambacho anacho ama amekifanya kinachofanya watu wamjudge hivyo wanavyomjudge.... !?
usikose kusikiliza MOVIE LEO siku ya kesho saa 10:45 asubuhi...
6 comments:
Huu muda mbona utaa 10:45 asubuhi?kwanini unatuchanganya ni saa kumi au nne?
hilo shoga bwana lisituzingue
sasa kama sio shoga atapendaje kampani za watoto wa kike, huyo mzima kweli, kwa wenye macho wameshaona.
jamani Zama huyu Danny anakaa magomeni mapipa ni shoga 100% wala si swali asitukanishe wanaume kuna mwanaume kalegea km yeye? kina joty na mpoki wanaact km wanawake kwanini tusihoji wao tumhoji yeye? Huyo ni shoga mzoefu no mjadala
na anajulikana mapipa yote. Tena kipindi cha kampeni za ccm alikuwa busy kwny kampeni mi namjua vizuri sana. Tena magomeni wako wengi Zama watoto wakiume mashoga ukipiga mbiu ya mashoga wanaweza kutoka wakajaa uwanja wa jangwani wengine wakakosa pakusimama jinsi walivyo wengi tena magomeni ni wengi kwasababu waarabu na wapemba wako wengi wanaishi magomeni na kariakoo wanatuharibia watoto kwakweli na ile bar ya macheni cjui kwanini haifungwi. Hawa watu weupe wanalaana waarabu, wapemba na wazungu ndo wanamchezo mchafu sana.
acheni zana zenu potofu ushoga usiingizwe na ukabila sio upemba wala uwarabu au uko AMERIKA NA UK, AFRIKA KUSINI KOTE KUNA WAPEMBA NA WAARABU acha ujinga uwoo wa kupakazia makabila ya wenzio na tabia chafu tena usirejee ii kama ww ni mtoto wa kiume timamu
hata mimi namfahamu huyu mtoto kama si shoga basi anahitaji kutupruvia vya kutosha kwani jamani nishawahi kumshuhudia kwenye sherehe ya mashauzi family kwenye pub moja alikuwa anatembea na mashoga wenzake na hata tembea yake akiamungu ukiomuona unaweza ukasema shg kabisaaaaa sijui lakin
Post a Comment