Monday, January 31, 2011

BONGO ACCESS.. LEO USIKU!!!

Mara ya kwanza kabisa alionekana kupitia Bongo Star Search mwaka 2009 ambapo alikuwa akihost kabla ya Godwin Gondwe kuingia, lakini baadae akawa kimya kidogo for a reason... na sababu ya ukimya wake utaijua leo kupitia CLOUDS TV baada tu ya TAKE ONE saa tatu na nusu usiku CLOUDS TV kupitia BONGO ACCESS ambacho ni kipindi kipya kabisa... hii ni sehemu pekee ambayo utapata kuona EVENTS zote zilizofanyika na zinazoendelea kufanyika hapa BONGO...

Anaitwa CAESAR DANIEL.. Usikose Bongo Access jumanne hii na kila jumanne saa tatu na nusu usiku!!


BONGO ACCESS... YOU BETTER BE THERE OR NOWHERE!!!!

No comments: