Wednesday, January 26, 2011

HAPPY BIRTHDAY MILLARD....!!!

Nakumbuka mara ya kwanza kabisa kukuona ilikuwa Habari Maelezo sikumbuki kulikuwa na press conference gani lakini tulikutana pale kama wanahabari kipindi hiko ukiwa WAPO RADIO na mimi nikiwa C2C Television, hapo ndipo tulipojuana..

Baada ya muda kidogo nikawa namuona mtu anasoma taarifa ya Habari and i used to like usomaji wake wa habari nakumbuka nilikuwa nasema napenda huyu mtu anavyosoma taarifa ya habari bila kugundua kwamba ni yuleyule ambae nilikutana nae habari maelezo... siku moja baada ya muda mrefu simu yangu ikaita namba ikaandika MILLARD wakati napokea ndio nikakumbuka kwamba this is the SAME Millard ambae anatangaza Habari na ndio yule ambae nilikutana nae Habari maelezo and he became a good brother and friend...

Na baada ya muda fulani HATIMAE wote tukakutana katika SAME RADIO STATION CLOUDS FM ambapo ndio tunapiga mzigo yeye akiwa anafanya AMPLIFAYA saa MOJA mpaka TATU usiku na mimi nikiwa CLOUDS TV kwenye TAKE ONE pamoja na MOVIE LEO ndani ya Leo tena ya Clouds FM..

WISH U LUCK IN EVERYTHING U DO.. KEEP IT REAL.. YOU ARE THE BEST

HAPPY BIRTHDAY BROTHER!!!!

4 comments:

Ivo Serenthà said...

My compliments for your blog and pictures included,I invite you in my photoblog "photosphera".

CLICK PHOTOSPHERA

Happy birthday,greetings from Italy

Marlow

Anonymous said...

happy bday mr ayo.

Unknown said...

HAP BIRTHDAY.I LIKE U

Anonymous said...

Happy belated birthday Millard.
I remember one day(2009) me and my late husband went to ITV/Radio one looking for Recho Udoba to talk to her about our missing housegirl, while we were waiting for Recho, Millard came out greeted us and told us that Recho will be a minute thus we went to the canteen to wait. My late husband told him jokingly that he has to buy us soda, he laughed. We ate then when we wanted to pay they told us that Millard has paid already. Wow! that was very generous of HIM. We looked to thank him but he alread left.
Well, I will never forget that, you taught me a great lesson. My husband died later that year, some thugs shot him demanding for money which he had no.
HAPPY BELATED BIRTHDAY AGAIN. MRS MBWANA.