Monday, January 24, 2011

B12 AFUNGUA DUKA LA NGUO.. BORN TO SHINE!!!!

Kwa wale wote ambao wanapenda kupendeza THIS IS YOUR TIME, Hamisi Mandi a.k.a B12, Twangala tweezy, The Navigator ama King of the afternoon Shows amefungua rasmi duka lake la nguo ambalo linapatikana maeneo ya MWENGE barabara ya AFRIKA SANA karibu na Ofisi za TRA mkabala kabisa na DUKA la wadada la MIMI'S...

Duka linaitwa BORN 2 SHINE ambapo lina bango jeusi hivi na maandishi kama ya Silver... Fanya kama unapitia hivi kwa RABA kali, VIATU vya aina zote, MASHATI, JEANS, T-shirts pamoja na vitu vyote ambavyo unahitaji...

CONGRATULATION BROTHER.. Thats a good step.. BORN TO SHINE always!!!

1 comment:

Anonymous said...

Big up bro!!