Sunday, January 9, 2011

SI NZURI KWA IMAGE YANGU LAKINI NAPENDA KUOGELEA NIKIWA MTUPU - KELLY ROWLAND

Anafahamika kama Kelly Rowland ila jina halisi ni Kelendria Trene Rowland ambae amezaliwa 11 february 1981 huko Atlanta Georgia na mama yake anafahamika kwa jina la Doris Rowland Garrison wakati baba yake ni Christopher Lovett ambapo WALIOANA baada ya KELLY kuzaliwa..
Akiwa na miaka saba mama yake alimchukua na kuondoka nae na kumuacha baba yake yake ambae alikuwa ni CHAPOMBE.
Usichokijua kuhusu Kelly Rowland ni kwamba aliwahi kurekebisha maziwa yake kama ambavyo unaweza kuona kwenye hiyo picha hapo juu.... Ambapo mwanzo alikuwa na maziwa madogo sana kama picha ya upande wa kushoto inavyoonesha na kuyaongeza kama picha hiyo nyingine inavyoonesha.

Katika Interview moja Kelly aliwahi kudhihirisha kwamba anapenda sana kuogelea Baharini akiwa NAKED kabisa na angependa kufanya hivyo MIAMI ila kinachomkwamisha ni mapaparazzi anaowahofia otherwise angeweza kufanya hivyo ingawa anajua kabisa kwa image yake si kitu kizuri.

Mbali na hayo kuna mengi ambayo unaweza ukawa huyafahamu kuhusiana na Kelly rowland na yafuatayo ni machache tu usiyoyajua kuhusu Kelly

1. Amekiri kama angeweza kubadilisha chochote kwenye mwili wake basi angeweza kufanya MIGUU YAKE IWE MIDOGO sababu anavaa NAMBA SABA NA NUSU.

2. Ingawa watu wengi hawajagundua lakini YEYE ni mzuri sana katika kufanya MAKE-UP na mara nyingi amekuwa akijifanyia make-up mwenyewe.

3. Anapokuwa na BAD HAIR DAY huwa inamlazimu avae WIG

4. Unaweza ukawa hujui lakini KELLY ni MBOVU sana kwenye kucheza TENNIS kitu ambacho kinamfanya aone aibu kidogo sababu mmoja kati ya BEST FRIENDS ZAKE ni SERENA WILLIAMS

5. Kitu cha mwisho ambacho huwa anafanya usiku ni KUSALI

6. Anapokuwa DOWN kitu ambacho kinamfanya arudi kawaida ni kufikiria kiasi gani AMEBARIKIWA na hilo tu humfanya arudi sawa.

7. Duka ambalo hawezi kupita bila kununua kitu ni Ralph Lauren pamoja na Roberto Cavalli

8. Udhaifu wake mkubwa ni PIPI na KEKI

9. Alivyokuwa MDOGO alitaka kuwa kama WHITNEY HOUSTON na alitaka sauti kama yake which was great na anaamini bado ni mkali.

10. Wimbo ambao hauwezi kutoka kichwani mwake ni wimbo wake mwenyewe unaoitwa WHEN LOVE TAKES OVER.. anaamini ni wimbo unaogusa.

11. Hana chochote anachojutia kwenye maisha yake kwasababu anaamini kupitia makosa anajifunza mambo mengi so hajutii chochote alichowahi kufanya.

12. Her proudest moment was a perfect concert perfomance alioifanya SOUTH AFRICA.

13. The best day of her life ni pale aliporealise ana UMUHIMU kiasi gani, and that was only a few years ago..

14. Kitabu anachokisoma currently ni THE MILLIONAIRE NEXT DOOR - Its about how people get rich.

15. Kinachompa furaha ni kuwa mmoja kati ya wanamuziki.

Mbali na muziki Kelly pia ni muandishi wa nyimbo, muigizaji mwanamitindo na television host.
Na kimuziki ameshafanya kazi na labels kama COLUMBIA (1997-2009) pamoja na UNIVERSAL MOTOWN (2010 mpaka sasa)
Huyo ndio Kelly Rowland ambae personally ni mmoja kati ya watu ninaowapenda sana hata bila muziki wake.. I JUST LOVE HER kama yeye....

1 comment:

Anonymous said...

Me to Zama, I heart her.