Monday, January 3, 2011

NIMERUDI RASMI

Tangu niwe kimya kwenye Blog hii nimepokea maoni mengi sana tofauti tofauti kuhusiana na ukimya wangu wengine WAKINIPAKA SANA, wengine wakiniomba nifunge Blog, wengine wakiongea kwa ukali wengine kwa upole na maoni mengi sana ambayo kiukweli yote nimeyapokea kwa mikono miwili na hayajanikwaza katika njia yoyote ile badala yake yamenifurahisha sana kuona kwamba kuna watu wanafatilia blog hii...
nilikuwa kimya kutokana na sababu ambazo siwezi kuzitaja ila naahidi kwamba nimerudi rasmi though katika kurudi kwangu nitaanza kutoa matukio tofauti tofauti ambayo yalijiri kipindi cha ukimya wangu..
Otherwise nawapenda sana wote mnaonipenda na kunichukia.....
ONE LOVE!!!!

1 comment:

Anonymous said...

ushauri wa bure 2 uuuuuuuu!over make up so hupendezi unakuwa kituko