Picha ni ukumbusho mzuri sana na kwangu mimi ni kitu muhimu sana kwasababu naamini binadamu tunaenda tunabadilika kadri siku zinavyokwenda na hata siku moja hauwezi kurudisha wakati nyuma na hapo ndipo UMUHIMU wa picha unapojitokeza kwangu mimi, sababu utakavyokuwa leo sivyo utakavyokuwa kesho, na ulivyokuwa jana sivyo ulivyo leo na kitu pekee kinachotusaidia kutunza kumbukumbu ya jana juzi na majuzi isipotee ni PICHA and that is the reason NAPENDA SANA PICHA..
Kwa mwaka uliopita(2010) kuna picha nyingi nimepiga, baadhi nikiwa na watu na nyingine nikiwa mwenyewe, lakini katika hizo zote kuna zile ambazo nazipenda zaidi ingawa haina maana kwamba picha hizi ndio nzuri kuliko zote kwangu mimi na huenda hata wewe zisikuvutie kabisa lakini mi nazipenda tu na nina sababu tofautitofauti za kuzipenda....
Hizi ni baadhi tu katika zile ninazozipenda na nitaendelea kukuletea nyingine kwa awamu...
Hizo ni chache tu katika nyingi.. awamu ya kwanza ndio hiyo.. awamu ya pili inakuja SOON...
1 comment:
I like the pozi ya KIBONDE anaweza commedy naye huyo
Post a Comment