PICHA ZA DADA DINA CARE'S FOUNDATION WAKITEMBELEA KITUO CHA WATOTO YATIMA
VETERANI
-
Mwisho wa wiki hii kikundi cha Dina Care's tulitembelea kituo cha watoto
yatima cha Veterani kilichopo Temeke na kushinda pia kupata nao chakula cha
mchan...
10 years ago
4 comments:
HAKIKA INATIA MOYO KUONA TANZANIA TUNAENDELEA VIZURI KATIKA MAMBO YA FILM.
CHA KUSIKITISHA TANZANIA FILM ZETU MARA NYINGI HUONYESHA MAMBO YA WACHAWI KUFANIKISHA NA HII HAKIKA INARUDISHA NYUMA MAENDELEO.
NI MUHIMU SANA TANZANIA KUUPIGA VITA UCHAWI KWA KUTUMIA FILM MAANA NI UONGO MTUPU NA HIVYO KUWAFANYA WATANZANIA 95% KUAMANI UPUUZI HUU.
HIVYO NIMGALIOMBA KUFANYA FILM ZA KUNYESHA JUHUDI, ELIMU NA MPANGILIO NDIO MAFANIKIO YA MAISHA VINGINEVYO TUTAKUWA MASIKINI WAKATI NCHI YETU TAJIRI. MOHAMMED AL BALUSHI
mh!
mimi hata mkinitukana nitukaneni lakini kinachotatiza nitakisema tu
KWANI HUWEZI KUWA STAR HADI UVAE NGUO FUPI?
samahanini jamani,
mbona huyo mwenye weaving vimacho vyake vijanja sana, kama anaumwa dege dege???????
samahanini lakini
kusema kwel mnajitahid sana dada zangu....big up sanasana sis zamda
Post a Comment