Thursday, May 6, 2010

WANTED.....!!! WANATAFUTWA...

GRACE MWAKABUNGU(20)
Huyo anaeonekana hapo ndio mtoto mkubwa na ametoroka na mdogo wake.

Awali alionekana na mtu aliekuwa akimtambulisha kama MJOMBA WAKE lakini wazazi hawamtambui kabisa mjomba huyo.

Hatimae siku ya siku alitoroka alfajiri ya saa kumi na moja, na alipofika huko akampigia simu mzazi wake na kumwambia asimtafute yuko salama na hawezi kurudi lakini mbaya zaidi katoroka na MDOGO WAKE ambae yuko kidato cha pili (FORM TWO)
Huyo ndio MDOGO wa huyo hapa juu yeye yuko FORM TWO amekatisha masomo na kutoroka na dada yake.

Mbaya zaidi inasemekana wanaonekana mtaani wakirandaranda usiku bila muelekeo wowote.

TAFADHALI KWA YEYOTE ATAKAEWAONA WATOTO HAWA ATOE TAARIFA KWENYE KITUO CHOCHOTE CHA POLISI.




No comments: