Tuesday, October 18, 2011

MLOPELO AILALAMIKIA CLOUDS KWA KUTOPIGA WIMBO WAKE


Msanii wa siku nyingi wa maigizo MLOPELO ambae alikuwa akiigiza kama jini mara nyingi kwa enzi hizo kupitia kaole ameibuka na kuilalamikia CLOUDS kwa kutopiga wimbo wake ambao kwa mujibu wa yeye anasema uko kwenye mahadhi ya R n B..
Kwa kuusikiliza wimbo huo na malalamiko yake bonyeza hapo juu ili uweze kuuusikiliza vizuri wimbo huo na kusema yaliyomo yamo!!!

9 comments:

Anonymous said...

mbavu zangu mie jamani lol........... ivi Zama hukucheka au ndo mazingira ya kazi hayakuruhusu????. yani he made my day lol nimerudia na kurudia na kurudia kaaaaaaaaaaaazi kweli kweli

Anonymous said...

Sasa huyo nae anaimba nini uchuzi mtupu, mwimbo nimeusikia hauna mashiko kabisa

Anonymous said...

Ndugu yangu Mlopelo, ukitoa kibao kizuri zaidi ya hicho (cha R n B {lol}), basi Clouds na Stations nyingi za redio zitaupiga wimbo wako mpaka mwenyewe ufurahi, lakini hii ya sasa....mhh.... Hata hivyo nathamini sana sana kazi yako ya uigizaji na nakiri kuwa una ujuzi na kipaji cha sanaa ya maigizo, lakini muziki...?... Tungoje kibao chako kijacho kabla hatujatoa uamuzi.....

Anonymous said...

Hata mimi umenivunja mbavu kwa malalamiko yako yasiyo na msingi. Haina maana kuwa mtu akiwa muigizaji mzuri basi lazima atakuwa muimbaji mzuri. Una kazi kubwa sana sana sana studio kabla hujaanza kutafuta visingizio.

Anonymous said...

uwiiiiii hehehehehe lol lol lol
jamani mbavuuu zanguuuuuu huyu jamaa anachekesha....

Anonymous said...

ha ha ha MLOPELO acha lawama hicho kibao ni taharabu au na kwa habari za ZAMARADI ana sema r n b ple sna jipange upya

Anonymous said...

Come Mlopelo...pleeeeeease be more serious.

Anonymous said...

Huo wimbo wako sijawahi kuusikia Clouds wal katika radio station yoyote ile , lazima wimbo huo utakuwa wimbo "bomu" uliochemsha (kicheko au 'lol').

Dave said...

RIP mzee