Wednesday, October 19, 2011

HEMED na MLELA kuja kivingine..

tegemea kuwaona katika filamu mpya kabisa itakayotoka hivi karibuni ambapo wameigiza character tofauti kabisa wakiwa mererani kwenye machimbo
ukiangalia juu juu hapo unaweza usiwatambue harakaharaka kwa jinsi walivyojiweka na muonekano wao ulivyo
hapa akipewa dozi na wamasai wa mererani
coming soon!!

5 comments:

Machota said...

Zamd, Das good news bana!! I think itakuwa nzuri sana kwasababu wameonyesha mazingira ambayo watu wengi hatuyajui, kama hasle za Merelani mmmhh!!! Pamoja ZAM!!

anu narayan said...

Nice post...

Anonymous said...

itakuwa balaaa hivyo viocho tu vya location nimekubali

Anonymous said...

yani hemedi kapendeza kuliko anavojiembaga na mapoda cjui yani ananiuziiiiiiiiii, anapendeza akijiweka kiume zaidi hii move naisi itakuwa poa sn

Anonymous said...

sasa itabidi wakitoka huko wanyoe nywele zote maana duh