Thursday, October 20, 2011

DAD and SON.. soo lovely!!


Allen Mushi na mtoto wake jayden!

15 comments:

Unknown said...

i had never seen mushiz son...atleast now i got an idea..he so cute....

Anonymous said...

Mushi kwa kijerumani ni sehemu ya mbele ya mwanamke, kama akienda ujerumani mazee watu watashindwa kulitamka hilo jina.

Anonymous said...

makubwa jamani lol Allen ana mtoto?????sikujua walai lol!!!!!! mbn wengine unawaficha???Zama umenifuraisha sn ngoja niwaambie watu kzaa wacheki hii picha na nilivombea we acha tu pengine niiprint ili niwafikishie ujumbe wooooooooote wasojua

Anonymous said...

iv alisoma nn apo ukutani ebu tuambieni nasi tujue...

Anonymous said...

Nimewapenda sana.soooooooo Lovely!!!!!!!!!!

Anonymous said...

watu wameshajua sema wewe ndo hujui! hivi wabongo bado tunaumbea? wenzenu wanatageneza pesa wewe unawaza kwenda kutoa habari kwa watu! eti jamaa anamtoto! kwani hadindi?

Ald said...

mama yake ni Sylivia?

Anonymous said...

ha ha ha ha alokwambia KUDINDA ndo kuwa na mtoto nani?????? grow up wewe afu cjui kwanini juu sio mara zote anasema pengine now amekuwa tayari thats why na picha katoa. sijui we ni nani au unamfaham vp allen na siwezi sema km namfahamu zaidi yako juu sikujui ila naisi kaelewa kwanini nieandika nilichoandika hapo juu.

Anonymous said...

eti wabongo bado tunaumbea we vp???? alikwambia wengine hawana nani???? dunia nzima kuna umbea tena ndo wenye kuleta maendeleo na pesa unazani m2 km shigongo napata wapi pesa ya ugali km si magazeti yake yaumbea??? tena wakati mwingine hata kuzusha anazusha habari

Anonymous said...

usiandike tu bora kuandika eti kudinda unajua katongoza au anatongoza wangapi bila kuwaambia km ana mtoto??????? ila kwa picha hii am proud tena sn hakuna ki2 kizuri km kuwa wazi na jambo km hili. mi namjua huyu toka KITENGO UGANDA na km allen mwenyewe ndo umeandika zen utakuwa wanipata

Anonymous said...

jina la mtoto ni JAYDAN not JAYDEN

Anonymous said...

c alimkataaga?kakua kamtamani?

Anonymous said...

hee kumbe hadindi ??? makubwaaaa.. nilikuwa sijui

Anonymous said...

Allan ni mtoto wa dada yangu kabisa,ila sisi hatujui kama ana mtoto,nimejaribu kumuuliza dada naye amesema hajui,mjomba naomba ufunguke tujue ukweli,mpaka sasa siamini,by uncle m.kimaro

Anonymous said...

allan Mushi nimesoma nae Hana Mixed uganda enzi hzooooooo kumbe mkaka una kadume hongera bwana.maureen