MTWARA SIO SALAMA
-
*Baada ya Waziri wa Nishat ikusoma hotuba yake.Mwishoni amesema bomba la
gesi linajengwa kutoka Mtwara kwenda Dar hapo ndio vurugu zilipoanza.*
Huko MIKINDA...
2 days ago
This Blog is all about Social and Entertainment issues... Karibu kwenye Dunia yangu!!! kwa mawasiliano tumia zamaradi.takeone@gmail.com
6 comments:
wow! hongera kwa kupenda wazazi wako kajala,hakika hiyo ni choice sahihi
huyu mdada atafika mbali sana kwasababu yupo soooooooooooooooooo real yani halafu humble kishenzi, kisha ni soooooooooooooooooooooooooooo beautiful, asile asile sana apungue tu
Nampenda sana Kajala jamani! hana makuu msichana wa watu, hana skendo yaani nampenda sanaaaaaaaaaaaaaaaa! aendelee vivyohivyo jamani.
sophie!
She has got very cool attitude on Camera.
Nampenda sana Kajala,kwanza ni mzuri thn hajisikii,thn nimependa alivyoweza kuendelea na maisha yake baada ya misukosuko yote hiyo!napenda sn strong women like her!keep it up Kajala!
jamani tujitahidi matumizi ya R na L.unaweza kua mzuri sana lakini ukianza kuchanganya herufi hizo mbili kidogo hata ile beauty yako inashuka.
Post a Comment