Thursday, November 10, 2011

MMEPATIA.. lol

!niliweka hii picha hapo juu na kuomba watu waguess huyo ni nani.. na wengi wameonekana wako makini sana na kutaja jina la hemed, na hilo ndio jibu sahihi.. huyo ni hemed suleimaan akiwa na mama yake mzazi na hapo aalikuwa na umri wa miaka 5, na ilikuwa ni mwaka 1991!!
hii ni picha inayoonesha walivyo sasa.. hemed na mama yake
na hapa ni hemed mwenyewe ama phd kama anavyopenda kujiita.. nakuletea mwingine soon ili uchemshe bongo kdg

No comments: