Monday, February 22, 2010

Karibuni

Karibuni watu wote

17 comments:

Unknown said...

ahsante sana,tunaomba kuona picha yako basi katika hili libeneke lako.halafu naona post iko moja tu ndio jipya jipya nini?kwa jinsi ninavyokujua, my parception libeneke hili litakua
funika bovu.tunaomba habari za burudani kwa sana tu.
mdau saudi arabia.

Zamaradi said...

Usijali picha zangu mtaziona tu.. Ni kweli hili ndio kwanza jipyajipya ila tegemea mazuri zaidi kadri siku zinavyokwenda...
Karibu na Asante sana.

Anonymous said...

mzima binti

essa said...

mbona hii global yako ni ya watu flani tu ?!!!!!

Anonymous said...

unakasura flani hivi na vijilips flani hivi vitamuuuuuuuuuuu.

DARCITY said...

Congratulation Zam! You seem pretty smart!! Weneed you!

DARCITY said...

Congratulation Zam! You seem pretty smart we need you!!!

Obs said...

Hi Zamaradi,

Ur very very cute Zama, and ur voice makes me mad, I realy like to hear ur voice and see ur face every single second. I hope someone who is very luck does this. Please, keep on posting as many as possible photos of urs. Realy I admire u, I hope one day I will see u face to face.

Unknown said...

Imetulia mdogo wangu kaza buti inshallah mbele utafika

Mzuri

Baraka Mfunguo said...

HONGERA SANA.

Anonymous said...

jamani zamaradi hongera mamaa jitahidi wadau tupo mama.hiyo dress imekutoa bomba

Anonymous said...

naitwa amina zangira jamani big up zama kaza buti mamaa

Anonymous said...

mwaya jitahidi sana tuu mwendo ni uleule spidi 120.kwenye kona shaaa!!au unabishaa?

haina noma na nasema hivi wale wote wanaotaka kubanana nawewe waache tuu kwani najua utawabana na hatimae watasogeaaa tuu !unaju kwa nini watakuwa wamebanwaaaa!!hahahaha

Anonymous said...

hakuna wa kuna nana nawe kwani wakibanana lazima wataondoka tuu kwani najua utawabanaaa.hahahahaha

Anonymous said...

poaazzzz......mwanaaa hakuna wa kubanana na wewe kwani najua utawabanaaaa.ahahahahahaha

Anonymous said...

NEMESOMA POST ZAKO NA MAMBO UNAYOYASEMA NAONA UMEENDA SHULE NA UNAKICHWA JUST TAKE IN ON ANOTHER LEVEL, UKO FIT NA INDUSTREY YAKO KAZA KAMBA TU UTAFIKA NIMEPENDA THE WAY YOU ANALYSE STUFF

Anonymous said...

Za hapo juu Zinatosha kabisa nikiongeza nitaharibu....au si ndio!!!?