MTWARA SIO SALAMA
-
*Baada ya Waziri wa Nishat ikusoma hotuba yake.Mwishoni amesema bomba la
gesi linajengwa kutoka Mtwara kwenda Dar hapo ndio vurugu zilipoanza.*
Huko MIKINDA...
4 hours ago
This Blog is all about Social and Entertainment issues... Karibu kwenye Dunia yangu!!! kwa mawasiliano tumia zamaradi.takeone@gmail.com
6 comments:
asante na ww pia.lol ndoo umevaa stara hivyo??
Is she married??? Hiv Zama mbona kipindi hiki wasanii wa kike karibu wote wanavaa hijab?? What is so special?? Au ni moja ya usanii pia??? EBU ZAMA DADA YANGU NIPE JIBU...HATA KUPITIA KIPINDI CHAKO CHA "MOVIE LEO" NDANI YA "LEO TENA"
Ni mim Shabiki wako mkubwa sana,
Wa Mjimwema, Songea.
Na yeye pia ijumaa na wikendi njema.
huyu dada alikua mzuri zaid alivyokua na weusi wake mzuri sana hivi wasanii wa bongo siku hz ni lazma mtu uwe mweupe ndo unafikiri unakua mzuri?? inaboa sasa wasanii wote especially wa kike naona wote wana rangi moja sasa. zama sio kama nasema vibaya ila nifikishie ujumbe wangu hii inakera sasa.
Swali la udaku, kwa nini kapewa jina la Ford? Ninavyojua mimi Ford ni aina ya gari na pia Kenya kuna vyama viwili vya siasa vinavoitwa Ford, yaani Ford-Kenya na Ford-Asili.
aaa;wale waaaaleeeeee
Post a Comment