Tuesday, August 16, 2011

KUTOKA MJENGONI LEO HII...

Da Maryam na mimi... hapo sakina alitupiga picha ya kushtukiza tukaona si vibaya tukaendelea na zoezi matokeo yake ndio picha zote hizo...
Nikiwa na Sakina wa Lyoka, mamaa wa ng'aring'ari!!!
Da maryama na Da sakina!!

Utamu wa picha unaendelea na mapozi tukaweka na swaum zetu..

nikaona nitie ufundi wa Black and white.. mwanamke kujistiri!!!


Mfungo unaendelea ya 16 leo.. Ramadhan Kareem!!!

Zoezi likaishia hapa kwa siku ya leo.... tungoje ya kesho tena!!!!
Shukrani Sakina kwa kuwa mpiga picha wetu leo.. lol!!!!!


13 comments:

Anonymous said...

MashaALLAH mnapendeza sana mnavyovaa STARA.
Isiishie mwezi huu bali muendelee hivyo hivyo miezi yote.
Naamini mnaweza. MNAPENDEZA KATIKA VAZI LA HESHIMA

Anonymous said...

Kumbe na ww Zama ukivaa nguo za heshima unapendeza kwa nini unapenda kuvaa sana suruali mmh mtoto wa kiislamu sharti ujistiri bidada sio Ramadahni mpk Ramadhani ndio unakumbuka wapi baibui ulipoliweka na fashion ya baibui inakuwa imeshapita.

Anonymous said...

zama 2wekee mabo bana,achana na habar za mipicha,ulianza vizuri sasa unaanza ku2boa,change plz -lucy

Anonymous said...

Mi sikufagilii kwa hii tabia yako ya kupost picha zako au umnamaana hii ni album yako ya picha na si blog ya kupashana habari na wadau wako. Naamini unao uwezo mkubwa wa kuchambua mada mbalimbali lakini sijui kwanini hufanyi hivyo bali unatuwekea picha zako zinakaa zaidi ya wiki mibili. Please be creative!
Kha!! yaani sikuelewi nini unalenga ka vip tukutumie picha za misura yetu hii mibaya uweke watu waone kam kunavinyago wenzako ila tu hatuna ma blog na sio kila mmoja wetu atakayeweza kuwa na blog. Fanya mambo bac mi nishabiki wako mkubwa ila kwahilo umenfyonkoa.

Anonymous said...

Mi sikufagilii kwa hii tabia yako ya kupost picha zako au umnamaana hii ni album yako ya picha na si blog ya kupashana habari na wadau wako. Naamini unao uwezo mkubwa wa kuchambua mada mbalimbali lakini sijui kwanini hufanyi hivyo bali unatuwekea picha zako zinakaa zaidi ya wiki mibili. Please be creative!
Kha!! yaani sikuelewi nini unalenga ka vip tukutumie picha za misura yetu hii mibaya uweke watu waone kam kunavinyago wenzako ila tu hatuna ma blog na sio kila mmoja wetu atakayeweza kuwa na blog. Fanya mambo bac mi nishabiki wako mkubwa ila kwahilo umenfyonkoa.

Anonymous said...

zama kila vazi unapendeza sana umejaliwa kweli wenye wivu wajinyonge, Ramadhani kareem....

Anonymous said...

UMEPEE ZAMA

Anonymous said...

waiiiiiiiiiiiiiiiii

Anonymous said...

mvae miezi yote siyo ramadhani tu,mwanamke wa kiislamu sharti ujisitiri

Anonymous said...

UNABAOA NA PICHA PICHA ZAKO BWANA KAMA UMEISHIWA C USEME TUJUE KUWA HII NI ALBUM NA C BLOG. ACHA HIZO. BLOG ZINGINE HATA HOSTER HATUWAJUI ILA HII YAKO KA KIOO CHAKO CHA KUJIANGALIA VILE HUWEZI KU UOT BILA KUJICHEK. NFYOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO

Anonymous said...

Masha'Allah!Zamaradi upo bomba wang,vile vi-skin huwa mnavaa tu lkn umo ndo mwake mwake bidada,na ushauri wa mchanganyiko wa habari ndo chachu ya hii blog otherwise una malengo mengine,.ramadhani kareem!

Anonymous said...

Zama unapendeza mno bwana...utatufanya tuharibu swaumu...

Anonymous said...

Ni matumaini yangu unaendelea vizuri.Hii ni mara ya kwanza kujitokeza hapa baada ya kukerwa na comment yako juu ya nyimbo hakunaga.kwanza nakupongeza kwa kazi nzuri unayofanya mpaka sasa.
kwa kweli nyimbo ya hakunaga umeifagilia sana kwamba kila kitu kimepangika hata vina na mistari imetulia.Kwa kweli kwenye kipengele hiko nashangaa kwa sababu wewe ni mkosoaji mkubwa pale wasanii wa filamu wanaporonga kwenye kiingereza lakini leo hii msanii kaboronga kwenye kiswahili wewe ndio kwanza unampa tano,au ndio tuseme dada kiswahili sio fani yako unaongea tu au kipengele cha muziki hakikukhusu?Hata kama ni hivyo haukupaswa wewe kuifagilia hiyo nyimbo yenye makosa kibao kwenye kiswahili waziwazi hata kama unaipenda kwa sababu tunajua nyimbo ni zaidi ya lugha.Je angeboronga hivyo kwenye kiingereza ingekuwa sawa?