Thursday, April 1, 2010

KIZAZI KIPYA CHA MUZIKI WA BONGOFLAVOR

Kutoka kushoto anaitwa DIAMOND(nenda kamwambie), BARNABA kutoka THT, ANGIE, NIKI WA PILI, MATALUMA (mama mubaya), BABY J kutoka ZnZ, YOUNG DEE pamoja na ROMA.
BARNABA kutoka THT anaetamba na nyimbo kama Wrong number, njiapanda na nyinginezo akiwa amepozi na ANGERIS FABOR (Angie) ambae kwasasa ameachia bonge moja la Video ambayo ameifanyia pale kwa kallaghe inayokwenda kwa jina la My Boo

Kutoka kushoto BELLE9 ambae ni mmoja kati ya watu walioingia kwenye tuzo za KILI kama msanii aliechipukia kwa 2009 akiwa na BARNABA ambae yumo kwenye category hiyohiyo pamoja na DIAMOND ambae bado anendelea kubanana nao kwenye category hiyohiyo ya msanii chipukizi kupitia single kali iliyomtambulisha ya Nenda kamwambie...

Belle9, Angie,Diamond

Wakiwa wote

No comments: