UNAWAKUMBUKA HAO!!!???
PICHA ZA DADA DINA CARE'S FOUNDATION WAKITEMBELEA KITUO CHA WATOTO YATIMA
VETERANI
-
Mwisho wa wiki hii kikundi cha Dina Care's tulitembelea kituo cha watoto
yatima cha Veterani kilichopo Temeke na kushinda pia kupata nao chakula cha
mchan...
10 years ago
8 comments:
Yes Zamaradi mimi ni miongoni wa waliopenda sana kuangalia tamthilia za kaole..kwa kipindi hicho kaole ndio ilikuwa inashika si mchezo..
Huyo wa kwanza ni
1) NINA
2)KEMMY
3)BUPE
4)ZAWADI
5)BI STAR
6)BAHATI
Natumai sijakosea mpz...kuwa na kazi njema dear.
Huyo Nina yuko vizuri sana ana bonge la jumba kanunuliwa la milioni kama hamsini hivi. Anakaa karibu na kwa shekhe yahaya......
Ila amejiachia sana au ndiyo mambo ya fwedha haya bwana.......
Mke wa muhogo mchungu naye kawa bonge jamaniiiiiiiiii
nawapenda sana wasanii wa zamani. nakumbuka enzi za shule ya msingi sikosi mbele ya luninga ifikapo muda wa tamthilia zao. Wanajua kuact sio km wa sasa labda nilikuwa mdogo nilikuwa sioni kasoro.But they are good actress compare to wasasa
Nawakumbuka kwa sana wa kwanza ni:
1) NINA 2)KEMMY 3)BUPE 4)ZAWADI
5)BI STAR 6)BAHATI
Daah nakumbuka enzi zile wote walikuwa wanabamba ila bi star na mhogo mchungu walikuwa real alafu walikuwa the best.
the only down side sijui kama walifaidika financially na kuuza sua kwenye runinga
asante kuwaweka dear, nimefurahi kumwona dadangu Kemmy. Nina nilikuwa namfagilia ni balaa ila hapa nilishindwa kumtambua jicho.
Kokusima
Nakumbuka enzi hizo nilikuwa UDSM pale Mlimani acha kabisa hao waigizaji. Kulikuwa na mtu anaitwa Swebe, Kibakuri, Nyamayao na kama. Walikuwa wanatisha sana kwa kuigiza katika mazingira ya Uswahili. Nakumbuka kipindi ilikuwa vipindi vyao vilikuwa maarufu na vilikuwa vikishindana na tamthilia ya Babarita na ile ya katili Max Stocktel na kaka yake ambaye nimemsahau jina. Muhogo Mchungu, Bi Star na mtoto wao Kibakuri ilikuwa balaaaa. Hivi Bi Zawadi ulikuwa darasa la ngapi?
Nimefurahi sana kuwaona waigizaji wa zamani.
Bi Muhogo Mchungu alikuwa muigizaji safi sana katika mazingira ya Uswahili kama mdau mwingine alivyosema hapo juu na mtoto wao mmoja wa kike,yaani kale katoto ka kike ndio kilikuwa kinanifurahisha mno!Kalikuwa kanaact bila ya kuangalia camera,yaani effortlessly!
Dada Nina mbona amejiachia namna hii??Ukilinganisha alivyokuwa kwenye 'Girlfriend' na alivyo sasa ni tofauti!Alikuwa ana ueusi fulani,halafu nyororo kulikoni sasa?Kawa mueupe,hata mimi nimeshindwa kumtambua mpaka niliposoma comments za wenzangu!
Nawatakia kila la heri ktk maisha yao sasa.
Post a Comment