Friday, March 26, 2010

ANAITWA HAMIS MANDI a.k.a B dozen

Nilitoa hii picha na kuomba watu waniambie wanahisi HUYI NI NANI... Kwa wale wote waliokuwa wakiuliza huyu ni nani ama ambao walijaribu ku-guess wameshapata jibu, anaitwa HAMIS MANDI ama B-dozen mtangazaji wa CLOUDS FM RADIO kwenye kipindi cha XXL.
Hapa akiwa anaonekana kwa vizuri huku style yake ya nywele ikiwa inaonekana.

B-12 akiwa mzigoni........ Wooooooote waliosema huyu ni DOZEN wamepatia Congratulation guys.. Kwa wengine waliojaribu asanteni sana.. Tuko pamoja!!
Tusubiri nini kitafuata kwenye Guess WHO!!



4 comments:

Anonymous said...

tupe dhawadi zetu.


disminder.

Anonymous said...

Good Day! Ricardo Love . payday loans

Anonymous said...

cash advance toronto This website is the very best I enjoyed it very much
AAA Toronto Payday Loans 1172 Bay St #101, Toronto, ON M5S 2B4 (416) 477-2817

Anonymous said...

i love dis guy for really,,,love u man......and all the best B12..........