Monday, March 15, 2010

KATIKA BONANZA LA WASANII LEADERS

Jackueline Wolper
Baadhi ya warembo waliohudhuria bonanza linalofanyika kila jumamosi pale leaders club

Miriam Jolwa ama JINI KABULA kama anavyotambulika na wengi


Toka kushoto Shamsa Ford, Hassan miundombinu na Jacqueline Wolper ndani ya Bonanza la wasanii


Tuesday Kihangala a.k.a MR. CHUZI nae alikuwepo

Warembo wakijiachia

Jackueline Wolper na Jini Kabula wakibadilishana mawazo


Bi Mwenda nae alikuwepo katika kuweka jumamosi yake safi


Hapa akilirudi sebene kimyakimya juu ya kiti.. lilimkolea kwelikweli!!





3 comments:

Anonymous said...

Unafanya mchezo na Ndovu ya Tembo?
hahahahahah
Bi mwenda yuko juu.

disminder.

mziwanda said...

hehe hiyo picha ya warembo wawili hilo gari lina plate number nzuri kweli ASS.heheh

Anonymous said...

jamani jini kabula ni mzuri...i love her