Wednesday, March 23, 2011

HAPPY BIRTHDAY BRO.. REUBEN NDEGE a.k.a NCHA KALI...

Leo siku ya tarehe 23 March 2011 mmoja kati ya watu muhimu sana hapa mjengoni anatimiza miaka kadhaa.. The creative person Anaitwa REUBEN NDEGE a.k.a Ncha kali na huyu ndio mtu ambae yuko nyuma ya maujanja yote ya hapa mjengoni (Clouds FM radio & Clouds TV)...
Happy Birthday brother though nimekawia kidogo kukuwish but i hope sijachelewa sana.. MUNGU akubariki katika kila unalolifanya na aendelee kukuweka ili na sisi wengine tuendelee kufaidika kupitia maujanja yako!!! MUCH RESPECT TO YOU!!!

Happy birthday to you.. Happy birthday to you.. Happy birthday dear Reuben.. happy birthday to YOU!!!
Hii ni moja kati ya picha tuliyopiga pamoja.. this was last year kama sikosei.. mbali na u-creative alionao, jamaa pia ana vipaji vingi sana.. GET HIM on SO SO FRESH kila Ijumaa kuanzia saa TATU NA NUSU mpaka SABA za Usiku..
ukiachana na utangazaji ambao ni kipaji pia unaweza kumpata kupitia wimbo wa SHIMO LIMETEMA ambapo ametupia mistari yake pia kwa kushirikiana na Fid Q lakini pia JIRAMBE aliofanya na watoto wa maghorofani enzi hizo kwasasa mjengoni.. na piiaaaaaaa he is a good model & actor as well though hajaamua kujikita humo zaidi but i'll give him a DEAL this year ha haaaa.. get him through a new video ya NAKAAYA inayoitwa SHUKRANI YA PUNDA then utajua nini namaanisha.. I respect you sana brother...
HAPPY BIRTHDAY!!!!

3 comments:

Anonymous said...

Mungu ampe maisha marefu.

Anonymous said...

Happy birthday bro,we wish u many many more.
Be blcd.

Anonymous said...

THANK YOU DADA...SANA TUUUU..REUBEN