Tuesday, March 15, 2011

USIKOSE KUANGALIA TAKE ONE LEO USIKU...

kuna mengi ndani ya take one leo usiku lakini baadhi tu... unataka kujua yaliyojiri kwenye party ya kaole!!?? wasanii waliowika zamani kwa sasa wako wapi na wanafanya nini!!??? Unamfahamu AKI na UKWA wa Tanzania!!?? yaliyojiri kwenye kikao cha macomedians (wachekeshaji).. Unamfahamu vizuri SHAROBARO(kamata mwiiz men) kupitia mtu kati utapata kujua mengi kuhusiana na yeye, vitu kama JICHO LA TATU, BEHIND THE SCENE na mengineyo..

Pamoja na mengi mengine ambayo yatakuwa kama suprise USIKOSE TAKE ONE LEO SAA TATU KAMILI USIKU kupitia CLOUDS TV!!!!

21 comments:

Anonymous said...

Umejinanga na hicho kisuruali hata hujapendeza.......kama vipi vaa jeans tuu usiige ya kina Rihana......
Na picha za kujikunyata kama mgonjwa kama vipi nenda loliondo kwa babu.
Picha ulizopiga na wakina dina kwenye website zako ndiyo wewe original hizi nyingine za kuziedit nishakwambia usituwekee......

Anonymous said...

Umependeza mwaya...acha waseme tu!!! Kwanza wanakuonea wivu...

ZAMA UNAKUMBUKA NILIKUOMBA UTUWEKEE "TAKE ONE" KWENYE U-TUBE ILI SISI TULIOMBALI NA BONGO TUWEZE PIA KUFAIDI....

Fanya hima my dear, najua tunakosa mambo mazuri!!!!!!!

Mwanaid Rajab said...

Hey zama,mbona jana saa tatu kamili ucku nimekodoa macho bila mafanikio,mbona Take One haikwepo???Ans plzzzzzzzzzz...

Anonymous said...

we nae unawivu tu hapo utakufa nalo ila kwenye hiyo outfit i think ungebeba black purse ingekuwa poa zaidi

Hawa said...

Jamani sasa hayo yote yametokea wp mdau hapo juu??!! Anyway Zama mbona jana hakukuwa na kipindi cha take one why??

Anonymous said...

Zamaradi the beautiful one, Will you marry me pleeeeeeeeeeeeeeease????????????
Sudi.

Anonymous said...

Zamaradi wewe chuma kweli kweli. Najua una moyo wa mapenzi kwa hivyo natumai utaendelea kukua kitaalamu na kimaadili pia. Ubarikiwe.

Anonymous said...

Yaani unaboa sana! Kutwa unatangaza kipindi ni jumanne saatatu, tunaacha shughuli zetu, haurushi kipindi saa hiyo halafu mlivyokiuwa unprofessional hata kuomba msamaha na kusema nini kinaendelea hamsemi, mnarusha bongo flavour tu, ndo nini? Unaboa sana!

Anonymous said...

Wewe mchangiaji wa kwanza kabisa (3:26 PM) wewe ndiye mgonjwa wa akili nenda Mirembe au Loliondo ukatibiwe kichwa. Zamaradi ni mzuri kuliko wewe na dada zako wote. Unamwonea wivu Zamaradi kwa kuwa Zamaradi amejaaliwa uzuri, charm na kipaji cha kazi yake. Sisi tunaompenda Zamaradi tutaendelea kumuomba Muumba wetu amlinde Zamaradi na ampe kila la heri. Amen. Pia tutaendelea kumuomba Muumba wetu awatoe chuki na wivu moyoni mwenu na awape mapenzi na upendo. Mapenzi yanaleta furaha wakati chuki inaleta majonzi. Please copy and paste that bro/sis. Jacqueline.

Anonymous said...

Zama wewe mzuri. Natumai pia utaendelea kuwa mzuri wa moyo kwani uzuri wa ndani unashinda uzuri wa nje. Wasiokupenda watakutukana usiku watalala (lol).

Anonymous said...

Kwenye hizi comment kuna watu wapo kwa ajili ya kukosoa na kuchekesha wanzao,kama huyo wa kwanza hapo juu.mmmh yote kheri..

Anonymous said...

stupid, narusha, narusha, hamna kitu, so unproffessional

kipussa said...

Zama mambo??? yani naomba nikupe SHIKAMOO yako hiyo si kwamba u mkubwa zaid yangu ni kutokana nakunikosha na utupiaji wako wa pamba, yaan jamani unanikosha natamani kuvaa kama ww.

Anonymous said...

Zamaradi. Hilo ni jina lako. Lakini mimi nakuongezea jina lapili : Za Waridi kwa kuwa unanikumbusha ua la waridi linapochanua.

Anonymous said...

Zamaradi wewe iko toto zuri sana. Kiran Patel.

RUKIA WA KUNDUCHI said...

WW ULIEMNANGA ZAMA UNA WIVU ZAMA NI MZURI NA NI MTU WA W2 ANGALIA UTAPATA NUKSI KTK MAISHA YAKO KWA KUMNANGA HUYU BINTI, WW NDIO UENDE LOLIONDO AMA VIPI UKISHINDWA KWENDA HUKO UJE KWANGU PIA NATOA TIBA, na kama huna cha kuandika ni bora usome tuu na kuacha, ZAMA KAZA BUTI MAMY ACHANA NA HAO WANAOKUKANDIA

Anonymous said...

Zama, usiwajali wanaokutukana. Huku US watu kama hawa wanaitwa losers kwa sababu they have nothing to offer anyone isipokuwa matusi. Envious/jealous people never win.

sophia mkumbo said...

mmmmh sijui ata niseme ila unachotakiwa kufanya kwa wa2 kama hao ni ku ignore tu wala si vinginevyo cuz mwenyewe unajijua mzuri so m2 baki asikupe mawazo big up zama

Mama Gody said...

Hao wanaokuponda ni wivu unawasumbua. You look so lovely. Keep it up.

Anonymous said...

hehehe unajiona mzuri? kwani.......huendi.......

Anonymous said...

Zam Upo juu, your cute and you look lovely......