
Hii inaonesha si matofali peke yake yanayoweza kujenga kitu cha namna hiyo hata udongo unajenga ghorofa kama unavyoliona hapo kwenye picha.. Saaaaafi!!!
This Blog is all about Social and Entertainment issues... Karibu kwenye Dunia yangu!!! kwa mawasiliano tumia zamaradi.takeone@gmail.com
4 comments:
dungu hilo zamaradii pwani hiyoo dadaaa ha ha h a chezeee pwani weweee eeeenh!
Du" hiyo kali sijawahi kuona gorofa la udongo, hongera kwa kutuwekea hapa na sisi tumejionea wenyeweee
kama hamjawahi ona ghorofa za aina hiyo karibuni lushoto, zipo nyingi mno hasa vijijini kote bumbuli, mnazi, mgwashi n.k km mnabisha muulizeni hata mwamvita makamba
Hata mie nipata bahati ya kuona Ghorofa la udongo Pwani .. ujuzi mwingi.
Post a Comment