

Mwanzo vijana hawa walikuwa kwenye beef zito sana lakini kwasasa wamepatana na kutoa tofauti zao na wanafanya kazi pamoja.. tusubiri tuone filamu hiyo ambayo ni COPY ya filamu ya BESTMAN ya nje.
This Blog is all about Social and Entertainment issues... Karibu kwenye Dunia yangu!!! kwa mawasiliano tumia zamaradi.takeone@gmail.com
Mwanzo vijana hawa walikuwa kwenye beef zito sana lakini kwasasa wamepatana na kutoa tofauti zao na wanafanya kazi pamoja.. tusubiri tuone filamu hiyo ambayo ni COPY ya filamu ya BESTMAN ya nje.
2 comments:
Mimi naona wote wanapenda kuuza sura ila HB kazidi, haya tena tusubiri hiyo filamu tuwaone mafahari wawili hao
Mbona katika hiyo picha inayomuonyesha Hemedi ame-relax umeandika'mwanaume kazini'? Kama analipwa kwa kujinyoosha naona na mimi pia naweza kuwa actor.
Post a Comment