Usikose KESHO fiesta tukutane pale Leaders tujipanguse pamoja na kina BRACKETS kutoka NIGERIA, MZEE WA ALADJI kutoka IVORY COAST pamoja na LIL KIM all the way from USA.
JIPANGUSEEEEEEE!!!
This Blog is all about Social and Entertainment issues... Karibu kwenye Dunia yangu!!! kwa mawasiliano tumia zamaradi.takeone@gmail.com
5 comments:
I love this guy.....mmmmhhh....love ya kizungu au ya kibongo?
Hivi Zamaradi umeolewa? Nijibu basi leo...
hivi hivyo vidole mnavyonyoosheana manake nini ! manake kila mahali utakuta staili hiyo tuuu naielimisheni jamani
Zamaradi mwaya unishindi mimi nampendaga chege jamani yaani mimi namuona amekaa so lovely hasa anavyocheka. Navyokuona umepiga naye picha alafu anasmile ndo nakufa then nahisi kukuonea wivu. Kiukweli I wish to share with him a sit one day anipigishe story mpaka basi.
aisee kumbe chege handsome.hapo alivyosmile balaa halafu kapendeza
Yeah!!! the guy ana gudlukin, kiukweli smartness itamuuza hasa alipokuwa kwenye serebuka alivuta watu sana maana ndo alikuwa akipiga pamba. He is so sexy
Post a Comment