

Nikiwa na YVONE CHERRYL (MONALISA)


Hapa mzozo ilikuwa ni viwanja vya MKURANGA, baadhi ya wasanii wakijadili jambo hilo hapo kuna SINGLE MTAMBALIKE(RICHIE), NOVA pamoja na baadhi ya wasanii wengine

SHUKRANI SANA KWA WOTE TULIOWEZA KUWA PAMOJA SIKU YA JANA NA HATA KWA WALE AMBAO HATUKUWA PAMOJA LAKINI TUKAWEZA KUSHIRIKIANA KWA NAMNA MOJA AMA NYINGINE, WALIOWEZA KUTAZAMA KIPINDI NA WALE WOTE WALIONISUPPORT KWA NJIA MOJA AMA NYINGINE, ASANTENI SANA SANA.. MUCH LOVE & RESPECT!!
TUKO PAMOJA!!!