Friday, June 17, 2011

Eyooo NICHEKI.... MNAONA SWAGGA!!! ANATAFUTA MKE JAMANI...

Mnaona swagga hizo.. kitu cha yellow na Orange.. Chekzea.. maneno miguu!!! kazi ni kwako.. lol!!!
Anyone alievutiwa nae!!??? leave your contacts tafadhali!!!

10 comments:

Anonymous said...

mmh huyo mchukue wew zama

Anonymous said...

mh! huyu baba ninamuona anatoka Tesco Supermarket sijui ni wa wapi, lkn Dada kwa kuwa wewe ni Single munaweza kumatch

Rik Kilasi said...

Zamaradi hv una mpango wa kutuvunja mbavu humu au? yaani nimecheka ngoja nipumzike nitacheka tena baadae lol

Anonymous said...

Wadau, jamaa kama huyu wana uwezo mkubwa sana wa "kuwafikisha" wanawake kitandani. Waingreza wanasema 'Don't judge a book by its cover'.

Anonymous said...

Huyu sura yake inaonesha kuwa ni hodari sana wa kuzamia wakati wa tendo la ndoa. lol.

Anonymous said...

Zamaradi lazima nikutungie song la mapenzi, nakumind mwanzo mwisho yani

Holly. said...

No comment. but nimeipenda, nataman ningipata leo, but I have to find it...............!!!!!!!!!!!!

Anonymous said...

Holly, Samahani...umeipenda nini ambacho unatamani ungelikipata leo?

Anonymous said...

jamaa ni zaidi ya masharobaro na wasafi wote ea bongo

Anonymous said...

jmaa kama maradona vile.