Kutoka kushoto Kimora, Geofrey ambae ndie Ex. producer wa hiyo filamu, Zamaradi Mketema (mimi) pamoja na Thecla ama Suzzy kama alivyocheza kwenye filamu ya Facebook..
PICHA ZA DADA DINA CARE'S FOUNDATION WAKITEMBELEA KITUO CHA WATOTO YATIMA
VETERANI
-
Mwisho wa wiki hii kikundi cha Dina Care's tulitembelea kituo cha watoto
yatima cha Veterani kilichopo Temeke na kushinda pia kupata nao chakula cha
mchan...
10 years ago
4 comments:
wewe nawe usituchoshe huna jipya embu muangalie Dina mwenzio jinsi anaupdate blog yake, wewe kapicha kamoja tuuuuu, aaa bwna ee sasa ulifungua blog ya nn kama huwezi kuimantain bana, kula kona huko funga kabisa maana huna jipya, toka tarhe 11, hadi leo halafu unatuletea kapicha kamoja tu kimora kimora ...kimora bongo?
filam za kibongo zikichezwa nchi za ulaya mara ngingi,zinakuwa hazina uzuri wowote ule.bora filam zichezwe tz
wee katoto uumdhuri kwei kwei. unayo damu ya kitusi aisee nimekubali.mouah
mdau jerusalem
unawajua watusi wewe mdau wa jerusalem au unawasikia? wala hakaribii sema ana uzuri wake mwenyewe kama mwenyewe.
Post a Comment