Tuesday, June 15, 2010

HABARI ZENU BANAA..................

salamu ndio jadi yetu watanzania... nawasalimu tu!!

9 comments:

Anonymous said...

msifungue blog kisa flan kafungua aibu gni hii huna cha kuandikia wakaa kabisa na pozi juu eti habari zenu HUNA CHA KUANDIKA WEWE kwishnei

Anonymous said...

I wish I say .....I love you Zamaradi

Anonymous said...

mtizame huyu jamani km afande tupe matukio sio salam we vp ulizani kufungua blog ni km kwenda msalani eeeh jitume

Anonymous said...

zama mbn wataka jitia jaka moyo?????????? ivi ni lazima kuwa na blog km hutaweza kupata matukio?????????? aya sasa leo huna lolote zaidi ya salam.salam ni jadi te2 tukukutana sio humu si tunataka manews bwana

ney said...

jamani watanzania au binadamu mbona hatueleweki?muacheni kwani mwanzo mgumu atafika tuu

Anonymous said...

Mliolalamika, niambie nini kimefanyika na Zama mpaka mkalalama? Ametusalimia, unaanza kulalamika, kwanini? By the way, a beautiful lady anakusalimia wewe una ng'aka....miafrika ndio tulivyo

@ZAMA....asikwambie mtu, umependeza na nakuhakikishia waliolalama hapa sio hawakupendi ama hawapendi blog yako, bali wanakupenda na wanapenda blog yako ndio maana waka komenti....wameshindwa kukufikia ndio maana.....wewe endelea kama unavyopanga wewe....tupo pamoja

Anonymous said...

poa Zama........ hatujambo pia

Anonymous said...

si ajabu ni mademu ndio wamelalamika. sisi midume aah. tena naingia na laptop yangu bafuni mie lol!!!

Unknown said...

umependeza sana dada yangu, i wish I could merry you...Hivi unamchumba??