Wednesday, June 16, 2010

MAISHA KUSAIDIANA....

We unaweza..!!!!????

6 comments:

Anonymous said...

Naweza ila bila mtoto mgongoni...........by the way, huyu mkaka ni houseboy au mume wa mwenye nyumba?

ney said...

afadhali mwaya umeweka kitu mana binadamu hata ufanyaje hawana jema,thanx kwa update

Anonymous said...

nimeipenda hiiii, bali si dhani km ni mtanzania unajua wanaume wa kitanzania wajeuri sana kwenye maswala ya kusaidiana kazi

Anonymous said...

Me nashangazwa sana na hw wanaume zetu, ss hapo ugumu uko wapi ina mana kama mama anaumwa hawezi kubeba ht mtt so na ww utamwacha mtt andelee kulia, mbna nyie nyie mlibebwa iweje mshindwe kubeba wtt wenu? Ney D.

Anonymous said...

i wish wanaume wote wa kitanzania wangejua maana ya kusaidiana. inaleta maana zaidi na inanogesha mapenzi...... lakini hapa kwetu mama mkwe, majirani na mawifi hawakawii kuzushia limbwata

Anonymous said...

ukifanya hivi; mwanamke ni wa kwanza kuwatangazia wenzie kwamba jamaa ni bwege.