Friday, May 20, 2011

MNAPOJIKUTA WOTE MMEVAA SARE BILA KUPANGA...

Hapo ni ADAM MCHOMVU pamoja na RAYMOND CHARLES kutoka hapa mjengoni Clouds FM ambapo walijikuta wamevaa sare bila kutegemea, ukianzia na hizo Culture hapo shingoni, style ya uvaaji pamoja na mashati waliyovaa ni kama yanawiana hivi...
Sometimes unaweza ukajikuta umeingia ofisini na bila kutegemea ukajikuta umevaa sare na mtu yoyote hapo kwa ofisi kama ambavyo imetokea kwa vijana hao hapo juu ambao style ya uvaaji ilikuwa kama inafanana hivi kwa siku hiyo!!!!

Sijui vijana ndio wanamaanisha nini hapo sielewi... but all in all PEACE & LOVE!!!


Adam mchomvu & Raymond Charles!!

No comments: