Wednesday, May 18, 2011

NIKIWA JUU YA MKOKOTENI WA NG'OMBE...



Hii ilikuwa ni njiani wakati tunatoka DODOMA kwenye Serengeti Fiesta filamu ambapo tulikuwa tukitafuta vipaji vya kuigiza, na hapa tulikuwa tukirudi DAR...
I just love the feel ya mimi kuwa juu ya huo mkokoteni hapo juu...

5 comments:

Anonymous said...

Ohh Zamaradi so funny umenikumbusha mbali sana hayo mazingira wewe ni mtangazaji wa ukweli bwana

Anonymous said...

I like tha way are zamarad! asante sana zama kama utatuletea charlz baba ili tujue ukwel kwa wema anajisifu anadhani yeye akiwa na mtu basi huyo mtu atapata umaarufu kupitia jina lke? aache kujisifu!

Anonymous said...

zama wewe ni mtundu sana.

Anonymous said...

hahaha Zama samahani yaani naona kama unamuiga Salama zile pozi zake za kiunique na hata kuongea pia

Anonymous said...

haha ulimlipa ride hiyo?, ungemuongeza mtaji japo buku tano kaka wa watu muuza majani