Anaitwa JULLY TAX, ni mmoja wa watengeneza filamu wakubwa kutoka mkoa wa MWANZA na hata TANZANIA kwa ujumla kwani ameshatengeneza filamu nyingi ambazo zinafanya vizuri sokoni kama SALADIN ambayo ilijipatia umaarufu mkubwa sana, MTEMI, MAMA WA KAMBO, RADI COBRA na nyinginezo nyingi sana..
PICHA ZA DADA DINA CARE'S FOUNDATION WAKITEMBELEA KITUO CHA WATOTO YATIMA
VETERANI
-
Mwisho wa wiki hii kikundi cha Dina Care's tulitembelea kituo cha watoto
yatima cha Veterani kilichopo Temeke na kushinda pia kupata nao chakula cha
mchan...
10 years ago
No comments:
Post a Comment