MTWARA SIO SALAMA
-
*Baada ya Waziri wa Nishat ikusoma hotuba yake.Mwishoni amesema bomba la
gesi linajengwa kutoka Mtwara kwenda Dar hapo ndio vurugu zilipoanza.*
Huko MIKINDA...
3 days ago
This Blog is all about Social and Entertainment issues... Karibu kwenye Dunia yangu!!! kwa mawasiliano tumia zamaradi.takeone@gmail.com
7 comments:
nadhani 20% atafaa zaidi,nyimbo zake ni nzuri zina mafundisho na zina eleweka
Kwenye TASNIA ya Muziki hakuna kama TWANGA PEPETA
Jamani mie namzimia 20 percent niko mbali na tanzania lakini nyimbo zake ni kali jamani wampatie japo ashinde japo kitu kimoja, na hata usiposhinda kaka yangu usikate tamaa watanzania tunakukubali kazi yako
20% ANAFAA KUCHUKUA TUZO KWENYE CATEGORIES ZOTE ALIZOWEKWA ALBUM YAKE HAICHOSHI KILA MWIMBO UNA UJUMBE NA LADHA NZURI
Wimbo bora : Bora nikimbie wa Linah
Msanii mpya : Top C
Wimbo bora wa Mwaka:sina raha wa Sam wa Ukweli
Mtunzi Bora wa Kike: Lady Jay Dee
Taarabu: Leila Rashid (Langu Rohoni).
20%
Post a Comment