Wednesday, February 16, 2011

TRIP YETU YA MWANZA NA TIMU NZIMA YA LEO TENA

Hii ilikuwa ndio siku tuliyowasili, tumechoka vibaya hapo maana jana yake kila mtu alikuwa na historia yake..

tukiwa na mdau kutoka MWANZA mmiliki wa ZAI fashions MWANZA, kutoka kushoto ni MOSHY HABIB, SEBASTIAN MAGANGA, ZAI FASHIONS, ZAMARADI MKETEMA pamoja na DINA MARIOS
Kama ilivyo hapo juu
Dina, Gea, Moonshine pamoja na Sebastian Maganga.
Nikiwa na Sebastian Maganga (our programs manager)

No comments: