Thursday, February 24, 2011

NIMEONA NIZITUPIE TU PICHA ZANGU MAANA NAONA HAZINA MATUMIZI.. IJUMAA NJEMA JAMANI!!!!

Ukuniuliza nini napenda, nitakujibu picha.. naomba nikiri hilo!!! Hivi vipicha vilikuwepo tu nikaona si vibaya nikavitundika humu ukizingatia sina matumizi navyo yoyote!!!
Zamaradi mpenda picha
Ukiangalia unaweza ukaona kama zinafananafanana hivi lakini nilichoona niziweke tu zote...
Wanasema kununanuna hovyo sio kuzuri kwa afya.. sura inazeeka, so always smile, matatizo yapo kila siku usiyaendekeze!!!

mpenda picha...
Hii ilikuwa kama miezi minne hivi iliyopita...
IJUMAA NJEMA JAMANI.. NAWAPENDA WOOOOTE, MNAONIPENDA NA KUNICHUKIA.. TUKO PAMOJA!!!!

5 comments:

middy said...

kwa kweli utakuwa unapenda picha na pia ww ni photogenic na ucngekuwa photogenic cdhan kwamba ungezipenda kiasi hicho and ur gorgeous too, i adores you alot..

Anonymous said...

hebu badilisha hicho kisuruali. you are cute.

Anonymous said...

Unalipa dada!!!! Mungu akulinde katika kutimiza ndoto zako za maisha...

Anonymous said...

Tunakupenda. Usijali baby Z.

Anonymous said...

U cute gal!!!! Mola akulinde na akupe imani zaidi na kila la heri. Amin.