Monday, February 7, 2011

SALAM KUTOKA KWA WADAU...

"I wish to say hello to all followers of the zamaradi blogspot coz to me if i want to know any news about Tanzanian artists am always passing here" your welcome all dont forget to click on www.ivannzowa.ning.com.its me Ivan Nzowa


Ujumbe! Ni kwa vijana wote wakitanzania hasa wa kizazi cha ssa nilikuwa nawaomba sana kuwa wakweli ktk maisha yao halisi ya kila siku couz unamkuta mtu life yake ni chini kabisa lakni kwa kutaka kuishi maisha ya ktk muvi anajikuta ktk mazungira magumu sana ya maisha yake! Matumizi ya social network vijna wa tz tumeyageuza kutoka matumizi yake sahihi tumejikuta ni mahara pa kufanyia mambo yetu tunayoyajua wenyewe so vijana tuwe makini na haya!! its Me Augustine magessa@Zama

Hata wewe unaweza kunitumia picha yako na ujumbe ulionao kupitia zamaradi.takeone@gmail.com

1 comment:

ivan said...

Thanks nimeonaaa...ivan