Monday, February 28, 2011

MTOTO WA BANANA ZORRO.. LIKE FATHER LIKE SON!!!

Huyu ni SON wa Banana Zahir Ally Zorro, mara ya kwanza nilivyomuona pale uwanjani nilihisi ni katoto ka kike kumbe NI WA KIUME.. nafkiri hata wewe ukimuangalia tu utakubaliana na mimi.. kamekaa kama kasichana kabisa yani.. SO CUTE!!! naona mzee zorro ana product za ukweli...
Hapa akiwa na Baba yake, LIKE FATHER LIKE SON.. wakati nafanya kipindi pale uwanjani nikiwa naruka live on Clouds FM, aliniona nimeshika MICROPHONE sasa sijui alijua ni ya baba yake maana alinifuata na kuanza kuninyang'anya huku akilia akiwa anaitaka yeye ile MICROPHONE ikabidi nimuachie tu kwa muda lakini kumnyang'anya ilikuwa kazi kubwa baadae..
Hapo ndio ninaposema like father like son coz alichanganyikiwa kabisa baada ya kuiona MIC na ukizingatia kazi ya baba yake inahusisha Microphone so huenda kuna vielement flani vya baba ama familia historia inajieleza.. TUNASUBIRIA lol!!
Hapa akiwa na baba yake.. SAAAAAFIIIIIII!!!!!

4 comments:

MloMmoja said...

oyaaaaaaaaa!hii ni nouma, uyo dogo ni kama kabinti flani ivi, mwambie Bana aachane kabisa na mikato iyo kwa mwanae, ishu kama izo zimesababisha watoto wengi kuingia kwenye mambo ya kishoga...nadhani utakuwa umensoma

Anonymous said...

Wahenga wanasema maji hufuata mkondo labda naye atakuwa msanii mkubwa mwenye mvoko ya kutisha TZ. nzima.

Hawa said...

Zama Kwenye mechi ya wasanii hatujamuona Jackline Wolper wala Irene Uwoya na walisema anatoka Cyprus anakuja kucheza mpira na yeye. Kulikoni??!! Na majina ya wasanii wengine waliotajwa hawakucheza kbs e.g Cloud 112 na Frank(Mohamed Mwikongi) wala jezi hawakuvaa na waliocheza wengine hawakutajwa kwenye list. labda unisaidie we2 na Dina ilikuaje?? By the way it ways so cool!! Big up kwa team nzima ya Clouds na wadau wooooteee!! By mama Wawili au Mrs. Mjaka

Anonymous said...

Nakubaliana na Mlommoja. Si lazima tuwasuke watoto wetu wa kiume. Tafiti nyingi Ulaya zinathibitisha ule msemo "Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo". Hiki kiti ambao wenzetu wanakiita "gender ambiguity" (yaani, kumkanganya mtoto kijinsia) kinachangia sana kuchochea ushoga na usagaji. Si mimi nasema hivyo, bali ni tafiti za USA na Ulaya ndizo zinazoonyesha hivyo. Pili, tuache kuiga kila utamaduni uozo kwa kisingizio cha "usasa". Huyu jamaa anaweza kuwa ni musician mzuri lakini kimtazamo amechemsha kweli kweli!!! Namuonea huruma bwana kadogoo. Mungu amsaidie.